The next Vice President of the United States,John McCain!?(Tena kwenye mkutano wa kampeni kwa ajili ya Joe Biden!?) Pengine sio kosa lake kwani huyo jamaa,Jim Pacillo, aliyechemsha katika kum-introduce Biden,amepata ridandansi kazini kwake hivi karibuni (pengine kichwa hakijatulia vizuri),na pia ni ,mfuasi wa Republican lakini anayewasapoti Obama na Biden ( ukibadili dini inachukua muda kutofautisha padri au shehe).
Friday, 10 October 2008
16:00
Unknown
ODD STUFFS
No comments
Related Posts:
KABLA YA KUPORA MWANDANI WA MTU JIULIZE KAZI ANAYOFANYABosi mmoja wa kampuni ya ujenzi aliamua kutumia nyenzo zake za kazi kulipiza kisasi kwa jamaa aliyempora mpenzi wake.Alipopata nafasi mwafaka ya kulipa kisasi akachukua greda/kijiko na kwenda kupondaponda gari ya "mwizi" wake… Read More
A DRUNK JOURNALIST ADMITS CUTTING AND PASTING NEWS FOR HIS BIRMINGHAM PAPER… Read More
MHESHIMIWA AANGUKA AKIWA KATIKATI YA MAHOJIANO "LAIVU" KWENYE RUNINGAZaidi kuhusu kioja hiki BONYEZA HAPA.… Read More
PRISONER FREED FOR BEING TOO FAT TO FIT IN A CELLA Montreal man serving time for drug smuggling has walked to freedom after authorities said he was too fat to be kept in jail. Michel Lapointe - also known as Big Mike - was set free three months before his scheduled release … Read More
THE NIGHT NEWS IN A NIGHTDRESSFor more,CLICK HERE.… Read More
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment