Hawa TANESCO vipi?Kwanza walitangaza mgao wa umeme wa takriban masaa matano kwa siku kabla ya kuongeza muda na kuwa takriban masaa kumi kwa siku.Siku chache baadaye wakatangaza kuisha kwa mgao huo,lakini kwa mujibu wa gazeti la Tanzania Daima,mgao umerejea tena.Ubabaishaji wa aina hii utaendelea hadi lini?
Tuesday, 7 October 2008
Related Posts:
TATIZO SIO KUCHANGANYA SIASA NA BIASHARA BALI MAFURIKO YA UFISADI KWENYE UKAME WA UZALENDOUongozi wa kisiasa wa Tanzania,kama ilivyo sehemu mbalimbali duniani,umekuwa ukitegemea watu kutoka fani mbalimbali za maisha.Tuna viongozi wa dini (kama Mchungaji Lwakatware),Wasomi (kama Prof Mwandosya,Prof Msola,Prof Mwaky… Read More
MGAO WA UMEME KURUDI TENA TANZANIAKwa mujibu wa The Citizen,Tanzania itakumbwa na mgao wa umeme wa masaa matano kwa siku kutokana na kuharibika kwa mitambo ya Songas.Let's hope this won't lead to another Richmond-like scam.Lakini pengine huu ni wakati mwafaka… Read More
THIS IS NOW TOO MUCH,TANESCO YATANGAZA TENA MGAO WA UMEMEHawa TANESCO vipi?Kwanza walitangaza mgao wa umeme wa takriban masaa matano kwa siku kabla ya kuongeza muda na kuwa takriban masaa kumi kwa siku.Siku chache baadaye wakatangaza kuisha kwa mgao huo,lakini kwa mujibu wa gazeti … Read More
MGAO WA UMEME SASA MASAA 10,HALI HII MPAKA LINI?Picha kwa hisani ya Chesi MpilipiliShirika la Umeme Tanzania,TANESCO,limetangaza ratiba mpya ya mgao wa umeme ambao tofauti na yale masaa matano ya awali sasa tatizo hilo litadumu kwa masaa kumi kwa siku.Ni muhimu kuwa tat… Read More
MAKALA YA WIKI HII NDANI YA GAZETI LA "MTANZANIA"Makala ya wiki hii ndani ya gazeti la Mtanzania inaangalia namna mafisadi wa kigeni wanavyonufaika kutokana na uzembe wa baadhi ya Watanzania wenzetu tuliowakabidhi dhamana za uongozi.Lakini hata kama wawekezaji hao wangekuwa… Read More
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Kikwete amesema hili tatizo litakuwa histori hivi karibuni.Sitashangaa ikiwa ni kastori tu :-(
ReplyDelete